David Wonder - Mgani

Chorus / Description : Na ni mwanaume mgani huyo, mgani huyo
Wa kujilinganisha na Bwana

Mgani Lyrics

Na ni mwanaume mgani huyo, mgani huyo 
Wa kujilinganisha na Bwana 

Mwambie ajitokeze eh ajitokeze eeh eeh 
Wacha tumuone akitembea ju ya maji 
Na akifanya uponyaji 
Samaki elfu tano afanye ugawaji 
Popote pote watu watahitaji 

Hakuna kama wee, kama wewe Yesu 
Nikisimama nimesimama ju ni yako Yesu 
Kama wewe Yesu 

Na ni mwanaume mgani huyo, mgani huyo 
Wa kujilinganisha na Bwana 

Mwambie ajitokeze eh ajitokeze eeh eeh 

So Nikitembetembea Kwa jina lako 
Nikiongeaongea kwa jina lako
Mapepo kemeakemea kwa jina lako
Sio makereakerea...

Mgani Video

  • Song: Mgani
  • Artist(s): David Wonder


Share: