Erick Smith - Rafiki Mwema

Chorus / Description : Nimempata rafiki mwema
Upendo wake hauna tashwishi
Akikupenda amaaanisha
Wakati wa shida wakati wa raha
Hawezi kuacha
Iyelele Iyelele
Iyelele hii hii
Iyelele hii Yesu rafiki mwema

Rafiki Mwema Lyrics

Tulipokutana nilikuwa nakuhitaji ii 
Ukawa jibu kwa mahitaji yangu 
Ukanipenda mimi nika tosheka 
Ukanifanya mboni ya jicho lako
Nikiwa nawe mimi sina hofu kamwe 
Bwana Yesu wee rafiki mwema aaa aah 

Nimempata rafiki mwema 
Upendo wake hauna tashwishi 
Akikupenda amaaanisha 
Wakati wa shida wakati wa raha 
Hawezi kuacha 
(rudia *2)
Iyelele Iyelele 
Iyelele hii hii 
Iyelele hii Yesu rafiki mwema 

Wote waliompokea wana raha 
Wana amani hawana wasiwasi 
Nimeona wajane mayatima na walio kata tamaa 
Wakiimba nyimbo za furaha eeeee 
Ndani yake tunaishi tunaenenda Bwana wangu 
Tuna uhai Yeus rafiki mwema aaah 
Ndani yake tunaishi sisi tunaenenda 
Tuna uhai Yesu rafiki mwema 

Nimempata rafiki mwema 
Upendo wake hauna tashwishi 
Akikupenda amaaanisha 
Wakati wa shida wakati wa raha 
Hawezi kuacha 
(rudia *2)
Iyelele Iyelele 
Iyelele hii hii 
Iyelele hii Yesu rafiki mwema 

Rafiki Mwema Video

  • Song: Rafiki Mwema
  • Artist(s): Erick Smith


Share: