Chorus / Description :
Tunaleta sifa zetu kwako
Maana wewe ndiwe Mungu mkuu
Tunaleta sifa zetu kwako Bwana
Wewe ni Mungu
Hakuna mwingine wa kuabudiwa
Unastahili sifa zote
Wewe ni Bwana aah
Tunaleta sifa zetu kwako
Maana wewe ndiwe Mungu mkuu
Tunaleta sifa zetu kwako Bwana
Tunaleta sifa zetu kwako
Maana wewe ndiwe Mungu mkuu
Tunaleta sifa zetu kwako Bwana
Usifiwe Yahweh
Usifiwe Yahweh
Kazi yako ya msalaba
Yanifanya kuwa salama
Usifwe Yahweh
Upendo wako wa milele
Umenifanya niendelee
Usifiwe Yahweh
Usifiwe Yahweh
Usifiwe Yahweh
Usifiwe Yahweh
Halleluyah Yahweh
Halleluyah Yahweh