Madam Flora - Mwenye Majibu

Chorus / Description : Yupo mwenye majibu, yeye asiyelala
Ndio kwake ndio, hakuna akuna

Mwenye Majibu Lyrics

Ufumu hauwezi kukusaidia 
Rafiki hawezi kukusaidia 
Ukuyu hauwezi kukusaidia 
Mpenzi hawezi kukusaidia 

Umeshindwa hilo hilo 
Kwa mwanadamu hilo hilo 
Ulilete hilo hilo 
Kwa Bwana Yesu hilo hilo 

Amesema anatenda umwamini yeye 
Hatawai acha neno lipotee 
Amesema atatenda nimeona 
Hajawai shindwa kitu mfalme 

Nira yake moja inabadili maisha 
Nira yake moja huleta amani 
Akisema sawa utaheshimiswa 
Mwite tu, mwite tu, mwite tu 

Yupo mwenye majibu, yeye asiyelala 
Ndio kwake ndio, hakuna akuna 
Yupo mwenye majibu, yeye asiyelala 
Ndio kwake ndio, hakuna akuna 

Kiti cha enzi, kiti cha sifa 
Nyenyekea utapata majibu 
Kiti cha karne zamani zote 
Amini amini kuna jibu 
Ameketi kwenye enzi hakuna jambo gumu tena 
Kama afya na uzima lolote amini amini 

Anajua maumivu, anaona na machozi  
Yeye ni Baba, yeye mlezi daima daima daima 

Nira yake moja inabadili maisha 
Nira yake moja huleta amani 
Akisema sawa utaheshimiswa 
Mwite tu, mwite tu, mwite tu 

Yupo mwenye majibu, yeye asiyelala 
Ndio kwake ndio, hakuna akuna 
Yupo mwenye majibu, yeye asiyelala 
Ndio kwake ndio, hakuna akuna 

Yupo mwenye majibu, yeye asiyelala 
Ndio kwake ndio, hakuna akuna 
Yupo mwenye majibu, yeye asiyelala 
Ndio kwake ndio, hakuna akuna 

Tunakuangalia, tegemea, egemea Bwana 
Mbawani mwako ni salama 
Tena jamari wa majeshi, mshindi wa yote 
Utashinda kwa heshima na anayo.. 

Yupo mwenye majibu, yeye asiyelala 
Ndio kwake ndio, hakuna akuna 

Mwenye Majibu Video

  • Song: Mwenye Majibu
  • Artist(s): Madam Flora + Goodluck Gozbert


Share: