Lyrics Page
Najua mkombozi wangu Anaishi
3,993 views
Jun 16, 2026 updated
Verified editorial review
Eunice Njeri's song 'Najua' is a Swahili worship song declaring the certainty that her Redeemer lives. The lyrics affirm Jesus as the Commander, Alpha and Omega, and the one who heals the sick and frees the captive. The song expresses personal assurance and adoration, calling on creation—sun, moon, fish, and birds—to witness God's greatness. It is a joyful, faith-filled declaration of God's power and worthiness.
Lyrics Verified by Editorial Team
Najua mkombozi wangu, anaishi,anaishi,
Najua mkombozi wangu, anaishi, anaishi,
Najua mkombozi wangu, anaishi,anaishi,
Jua na mwezi zaisikia sauti yako,
Samaki baharini wakuiniua,
Ndege wa angani wanashangilia,
nami baba nakuabudu,
Najua mkombozi wangu, anaishi, anaishi,
Najua mkombozi wangu, anaishi,anaishi,
Najua mkombozi wangu, anaishi, anaishi,
Najua mkombozi wangu, anaishi,anaishi,
Yeye ndiye jemedali mkuu,
Yeshua, kuani mkuu,
Alpha Omega, mwanzo tena mwisho,
Hakuna aliye kama yeye,
Najua mkombozi wangu, anaishi, anaishi,
Najua mkombozi wangu, anaishi,anaishi,
Najua mkombozi wangu, anaishi, anaishi,
Najua mkombozi wangu, anaishi,anaishi,
Wanyonge wakukimbilia hata wagonjwa, wewe wa waponya,
Waliofungwa wewe wa wafungua,
Utukuzwe, wastahili,
Najua mkombozi wangu, anaishi, anaishi,
Najua mkombozi wangu, anaishi,anaishi,
Nie nijohe, nijohe, mwoonekia wakwa are moyo, are moyo,
Nie nijohe, nijohe, mwoonekia wakwa are moyo, are moyo,
Nie nijohe, nijohe, mwoonekia wakwa are moyo, are moyo,
Najua mkombozi wangu, anaishi, anaishi,
Najua mkombozi wangu, anaishi,anaishi,