Chorus / Description :
Wangejua wewe ni nani
Wote wasingekukimbia
Wangejua wewe ni nani
Wote wasingekuacha
Wamekusukuma uende mbali
Yeye ni Mungu akisema amesema
Yeye ni Mungu
Yeye ni Baba akipanga amepanga
Yeye ni Baba
Haleluya aah
Yeye ni Mungu akisema amesema
Yeye ni Mungu
Yeye ni Baba akipanga amepanga
Yeye ni Baba
Yeye ni vyote akisema amesema
Yeye ni Mungu
Yeye ni Mungu akipanga amepanga
Maana ni Mungu
Amesema hatutakuwa chini
Ameshasema maana ni Mungu
Amesema kesho yetu ni kubwa
Kasema maana ni Mungu
Usilie amesema yeye ni Mungu
Usichoke kasema Yeye ni Mungu
Hawajajua amepanga mazuri Mungu
Wangejua kesho yako ni hivi
Wangejua wasingekukimbia
Kwa sababu unalia wamekuchoka
Wangejua wangevumilia na wewe
Wangejua leo yako ni hii
Yanayo nafuu wasingenitesa
Haleluya aah
Yeye ni Mungu akisema amesema
Yeye ni Mungu
Yeye ni Baba akipanga amepanga
Yeye ni Baba
Yeye ni vyote akisema amesema
Yeye ni Mungu
Yeye ni Mungu akipanga amepanga
Maana ni Mungu
Kwa sababu tuko na Mungu
Ndugu zangu vita tutaishinda
Yeye ni Mungu akijibu ameshajibu
Mungu wetu yuko mbinguni
Anatazama atende kwa haki
Wangejua wewe ni nani
Wote wasingekukimbia
Wangejua wewe ni nani
Wote wasingekuacha
Wamekusukuma uende mbali
Usijali Mungu anatenda kwa haki
Wamekushitaki ili uhukumiwe
Usihofu Baba anajibu kwa haki
Wangejua kesho yako hautailia
Wangejua wangevumilia na wewe
Kawaida ya watu wanachoka
Wangejua wasingekuchoka
Haleluya aah
Yeye ni Mungu akisema amesema
Yeye ni Mungu
Yeye ni Baba akipanga amepanga
Yeye ni Baba
Yeye ni vyote akisema amesema
Yeye ni Mungu
Yeye ni Mungu akipanga amepanga
Maana ni Mungu