Nsajigwa Mordecai - Nitayari

Chorus / Description : Yesu nitayari, nitengeneze upendavyo
(Jesus I am ready, Make me as You wish)
Safisha kila kitu ndani yangu
(Clean everything inside of me)
Fanya upya kila njia yangu
(Make new my ways)

Nitayari Lyrics

Sitaki chelewa, sitaki kupoteza muda 
Nataka niende sawa na majira yako 
Niende na wakati wako nisitengwe nawe 
Usiyelingana na mwingine Baba 

Pengine Bwana nisahau, 
Yale mambo ulisema nami zamani
Bwana naomba sema nami 
Unikumbushe sema nami nami nitasikia 

Safisha kila kitu ndani yangu 
Fanya upya kila njia yangu 
Uisha kila kitu ndani yangu 
Nisirudishwe na mambo yapitayo

Pambana pambana pambana,napambana 
Kazana kazana kazana,nakazana 
Subiri subiri subiri, nasukubiri
Nisije ikosa furaha yako
Niishi na wewe milele Baba  
Nikae daima uweponi mwako 

Pengine Bwana nisahau, 
Yale mambo ulisema nami zamani
Bwana naomba sema nami 
Unikumbushe sema nami nami nitasikia 

Safisha kila kitu ndani yangu 
Fanya upya kila njia yangu 
Uisha kila kitu ndani yangu 
Nisirudishwe na mambo yapitayo

Yesu nitayari, nitengeneze upendavyo 
Yesu nitayari, nitengeneze upendavyo
(Yesu nitayari, nitayari nitayari)

Nitayari Video

  • Song: Nitayari
  • Artist(s): Nsajigwa Mordecai


Share: