Chorus / Description :
Naijulikane wewe ni mungu
Naijulikane wewe waweza
Naijulikane watenda mambo makuu
Naijulikane duniani kote
Naijulikane wewe ni mungu
Naijulikane wewe waweza
Naijulikane watenda mambo makuu
Naijulikane duniani kote
Niko mbele zako miguuni mwako
Nimenyenyekea nikutafute
Mahitaji yangu ninakuletea
Mizigo yote nakuwachia (rudia)
Naijulikane wewe ni mungu
Naijulikane wewe waweza
Naijulikane watenda mambo makuu
Naijulikane duniani kote
Ninayo imani unayaweza
Muweza yote unanitosha
Msaidizi wakati kama huu
Nakuamini nanyenyekea
Naijulikane wewe ni mungu
Naijulikane wewe waweza
Naijulikane watenda mambo makuu
Naijulikane duniani kote
Naijulikane wewe ni mungu
Naijulikane wewe waweza
Naijulikane watenda mambo makuu
Naijulikane duniani kote
declaring the end from the beginning, and from ancient times things that are not `yet' done; saying, My counsel shall stand, and I will do all my pleasure;