Chorus / Description :
Haijawa rahisi kufika hapa
(It was not easy to come this far)
Ni mkono wa Mungu umenibeba
(The presence of the Lord has carried me)
Haijawa rahisi kufika hapa
Ni mkono wa Mungu umenibeba
Haijawa rahisi kufika hapa
(It was not easy to come this far)
Ni mkono wa Mungu umenibeba
(The presence of the Lord has carried me)
Umenibeba umenibeba
Ni mkono wa Mungu umenibeba
Hakuna kitu nzuri kama kuweka
Imani ndani ya Mungu
Hakuna jambo nzuri kama kuweka
Imani ndani ya Mungu
Yeye hajui disappointment
Yeye haelewi kuvunja moyo
Kumtegemea huepusha mambo mengi
Kumtumainia kunasaidia
Haijawa rahisi kufika hapa
Ni mkono wa Mungu umenibeba
Umenibeba umenibeba
Ni mkono wa Mungu umenibeba
Mungu napenda unavyofanya ahadi zako
Kwanza huwezi ahidi ukose kutimiza
Mungu napenda unavyofanya ahadi zako
Kwanza huwezi ahidi ukose kutimiza
Haijawa rahisi kufika hapa
Ni mkono wa Mungu umenibeba
Umenibeba umenibeba
Ni mkono wa Mungu umenibeba