Tumaini - Umenibeba

Chorus / Description : Haijawa rahisi kufika hapa
(It was not easy to come this far)
Ni mkono wa Mungu umenibeba
(The presence of the Lord has carried me)

Umenibeba Lyrics

Haijawa rahisi kufika hapa 
Ni mkono wa Mungu umenibeba

Haijawa rahisi kufika hapa 
(It was not easy to come this far)
Ni mkono wa Mungu umenibeba
(The presence of the Lord has carried me)

Umenibeba umenibeba 
Ni mkono wa Mungu umenibeba

Hakuna kitu nzuri kama kuweka 
Imani ndani ya Mungu 
Hakuna jambo nzuri kama kuweka 
Imani ndani ya Mungu 

Yeye hajui disappointment 
Yeye haelewi kuvunja moyo 
Kumtegemea huepusha mambo mengi 
Kumtumainia kunasaidia 

Haijawa rahisi kufika hapa 
Ni mkono wa Mungu umenibeba

Umenibeba umenibeba 
Ni mkono wa Mungu umenibeba

Mungu napenda unavyofanya ahadi zako 
Kwanza huwezi ahidi ukose kutimiza 
Mungu napenda unavyofanya ahadi zako 
Kwanza huwezi ahidi ukose kutimiza 

Haijawa rahisi kufika hapa 
Ni mkono wa Mungu umenibeba

Umenibeba umenibeba 
Ni mkono wa Mungu umenibeba

Umenibeba Video

  • Song: Umenibeba
  • Artist(s): Tumaini
  • Album: Glory of Eden (Live)
  • Release Date: 21 Feb 2020
Here Comes the Glory Audio Preview: Download / Stream : Amazon Music / iTunes


Share: