Zabron Singers - Sikuachi Tena

Chorus / Description : Wewe ni Mungu wangu sikuachi tena
Mimi kuwepo leo neema zako zaniwezesha
Sina haki mimi kujisifu tena
Kwani bila wewe hakika mimi singekuwa hivi

Sikuachi Tena Lyrics

Tunaishi kwa nguvu za Mungu yeye ndo katuweka hapa 
Kila hatua tunapitia ye ndo mlinzi wetu 
Asubuhi ifikapo hujua siku itaenda vipi 
Je ntavuka salama jioni hata usiku 
Kwa dakika sekunde hujua siku itaenda vipi 
Kupata na kukosa anajua mimi nitapata nini 
Kulala kuamka anajua mimi nitaamka vipi 
Maisha yetu yote ndiye anaye siri zetu 

Wewe ni Mungu wangu sikuachi tena 
Mimi kuwepo leo neema zako zaniwezesha 
Sina haki mimi kujisifu tena 
Kwani bila wewe hakika mimi singekuwa hivi 

The light of my way and shining star in my life 
He is the Lord of all lights and victory, and everything is His 
Upatacho shukuru ni Mungu ndiye kakuweka hapo 
Usisahau kumtumikia bado ungali hai 
Kumbuka kuna siku utadaiwa kwa matendo yako 
Iweje jema au baya watu umewatenda vipi 
Je wazitumiaje baraka ulizopewa na Mungu 
Suluhisho pekee ni Mungu pekee tumpe maisha yetu 

Wewe ni Mungu wangu sikuachi tena 
Mimi kuwepo leo neema zako zaniwezesha 
Sina haki mimi kujisifu tena 
Kwani bila wewe hakika mimi singekuwa hivi 

Wewe ni Mungu wangu sikuachi tena 
Mimi kuwepo leo neema zako zaniwezesha 
Sina haki mimi kujisifu tena 
Kwani bila wewe hakika mimi singekuwa hivi 

Sikuachi Tena Video

  • Song: Sikuachi Tena
  • Artist(s): Zabron Singers


Share: