Chorus / Description :
Yesu nakutegemea, Yesu nakutegemea
Unishikilie nakutegemea
Usiniachilie nakutegemea
Yesu nakutegemea, Yesu nakutegemea
Unishikilie nakutegema
Usiniachilie nakutegemea
Nimekuwa kwa mlima huu nikikutafuta wewe
Wewe uniwezeshaye nakuita aaah
Tangu nikujue hujawai niwache nipotee
Tangu nikujue hujawai niacha nimezww na dunia
Yesu nakutegemea, Yesu nakutegemea
Unishikilie nakutegemea
Usiniachilie nakutegemea
Nainua macho yangu kwako
Nakutazamia wewe pekee yako ooh
Anayekutegemea ni kama mlima wa sayuni
Hatatingizwa kamwe
Unavyozingira Yerusalemu hivyo ndivyo
Unavyonizingira mimi
Ninakutegemea leo, ninakutazamia leo leo leo Baba
Oooh ooh oh oh
Sina mwingine kama wewe
Nakutegemea
Asante wewe
Nakupenda
kamtoa mwana wako kwa ajili yangu
Niwe na uzima wa milele
Nani mwingine angeweza ...