Msalaba ndio asili ya mema

By Angela Chibalonza

Lyrics

Sioni haya kwa Bwana,
Kwake nitang’ara!
Mti wake sitakana,
Ni neno imara.

(Chorus)
Msalaba ndio asili ya mema,
Nikatua mzigo hapo;
Nina uzima, furaha daima,
Njoni kafurahini papo.

Kama kiti chake vivyo,
Ni yake ahadi;
Alivyowekewa navyo,
Kamwe, havirudi.

Bwana wangu, tena Mungu,
Ndilo lake jina!
Hataacha roho yangu,
Wala kunikana.

Atakiri langu jina,
Mbele za Babaye,
Anipe pahali tena,
Mbinguni nikae

# At the Cross

"Angela chibalonza || sioni haya \/\/ msalaba\/\/ piano tutorial"