Chorus / Description :
Nimempata rafiki mwema
Upendo wake hauna tashwishi
Akikupenda amaaanisha
Wakati wa shida wakati wa raha
Hawezi kuacha
Iyelele Iyelele
Iyelele hii hii
Iyelele hii Yesu rafiki mwema
Tulipokutana nilikuwa nakuhitaji ii
Ukawa jibu kwa mahitaji yangu
Ukanipenda mimi nika tosheka
Ukanifanya mboni ya jicho lako
Nikiwa nawe mimi sina hofu kamwe
Bwana Yesu wee rafiki mwema aaa aah
Nimempata rafiki mwema
Upendo wake hauna tashwishi
Akikupenda amaaanisha
Wakati wa shida wakati wa raha
Hawezi kuacha
(rudia *2)
Iyelele Iyelele
Iyelele hii hii
Iyelele hii Yesu rafiki mwema
Wote waliompokea wana raha
Wana amani hawana wasiwasi
Nimeona wajane mayatima na walio kata tamaa
Wakiimba nyimbo za furaha eeeee
Ndani yake tunaishi tunaenenda Bwana wangu
Tuna uhai Yeus rafiki mwema aaah
Ndani yake tunaishi sisi tunaenenda
Tuna uhai Yesu rafiki mwema
Nimempata rafiki mwema
Upendo wake hauna tashwishi
Akikupenda amaaanisha
Wakati wa shida wakati wa raha
Hawezi kuacha
(rudia *2)
Iyelele Iyelele
Iyelele hii hii
Iyelele hii Yesu rafiki mwema