Alice Kimanzi - Nikuabudu

Chorus / Description : Nikuabudu Bwana, Nikuabudu
Ndio tamaa yangu milele Bwana
Nikuabudu
Nikuabudu Bwana, Nikuabudu
Ndio tamaa yangu milele Yesu
Nikuabudu

Nikuabudu Lyrics

Nikuabudu Lyrics:
Vs 1:
Moyo wangu wakutamani ewe Baba
Mwili wangu wa kulilia 
Kama vile ayala atamanivyo maji akiona kiu (x2)

Chorus:
Nikuabudu Bwana, Nikuabudu
Ndio tamaa yangu milele Bwana
Nikuabudu
Nikuabudu Bwana, Nikuabudu
Ndio tamaa yangu milele Yesu
Nikuabudu?

Vs 2:
Ninapo fadhaika nitakimbia hekaluni mwako
Na nitaimimina nafsi yangu mbele zako Bwana
Kwani upendo wako ni wimbo wa kunituliza
Jina lako tegemeo tena ngome iliyo imara?

Vs 3:
Hapa chini ya mbawa zako sala ni moja
Kwamba kwa macho haya yangu
Niuone utukufu wako
Tenda miujiza, tenda maajabu
Kwani fadhili zako ni bora kuliko uhai

Bridge:
Amen amen amen?

This song is from Psalm 42:
"As the deer pants for streams of water, so my soul pants for you, my God.
My soul thirsts for God, for the living God"



Nikuabudu Video

  • Song: Nikuabudu
  • Artist(s): Alice Kimanzi


Share: