Lango

By Dr Ipyana

Lyrics

Ninayo furaha ndani ya msalaba 

Nina hamu kuwa uweponi mwa Bwana 

Ninayo furaha ndani ya msalaba 

Nina hamu kukaa uweponi mwa Bwana 


Msalaba ndio asili ya wema 

Nitatua mzigo hapo 

Nina uzima furaha daima 

Njooni mkafurahini hapo 


Sioni haya kwa Bwana 

Kwako ninang'ara 

Mti sikatana 

Ni neno imara 


Lango ndiye yesu Bwana 

Lango lango lango 

La mbinguni ni wazi 


Hima ndugu tuingie 

Lango halijafungwa 

Ikifungwa mara moja 

Halitunguliwa 


Lango ndiye yesu Bwana 

Lango lango lango 

La mbinguni ni wazi 

Dr. Ipyana Lango