Nitakase - Bwana Naomba Bwana Unitakase

By Ali Mukhwana

Lyrics

Bwana naomba Bwana unitakase 

Mungu mwenye nguvu 

Bwana naomba Bwana 

nitawaliwe nawe (rudia)


Hii safari ni ndefu Bwana 

Nahitaji neema yako 

Bwana naomba ooh 

Nitawaliwe nawe 

Siwezi bila wewe eeh 

Siwezi bila wewe uniongoze 

Nakuhitaji mwokozi wangu 

Nitawaliwe na wewe 


Bwana naomba Bwana unitakase 

Mungu mwenye nguvu 

Bwana naomba Bwana 

nitawaliwe nawe (rudia)


Naomba roho wako mtakatifu 

Aniongoze safarini 

Naomba Bwana nitawaliwe nawe 

Haya mambo ya duniani 

Yamekuwa mengi kuliko akili yangu Baba 

Naomba Yesu uuh nitawaliwe nawe 

Siwezi bila wewe  


Bwana naomba Bwana 

Unitakase Mungu mwenye nguvu 

Bwana naomba Bwana 

nitawaliwe nawe (rudia) 


Ombi la moyo wangu 

Moyo wangu wakulilia ewe Yesu 

Naomba kila siku nitawaliwe nawe 

Siwezi bila wewe, nitazama bila wewe 

Nakuhitaji Bwana wangu nitawaliwe nawe 

Unitakase Bwana 


Bwana naomba Bwana 

Unitakase Mungu mwenye nguvu 

Bwana naomba Bwana 

nitawaliwe nawe 


Bwana naomba Bwana 

Unitakase Mungu mwenye nguvu 

Bwana naomba Bwana 

nitawaliwe nawe 


Ali Mukhwana - Bwana Naomba [Skiza 9521372 sent to 811