Utukufu

By Ali Mukhwana

Lyrics

Utukufu na heshima ni zako Bwana 

Ni zako Yahweh, ni zako usiyeshindwa 

Utukufu na heshima ni zako 

Ni zako usiyeshindwa 


Wewe uliyenihesabia haki 

Kwa neema yako, ni zako usiyeshindwa 

Mnara wangu wa utukufu 

Na kinga yangu, ni wewe usiyeshindwa 


Utukufu na heshima ni zako 

Ni zako usiyeshindwa 

Haki yako Bwana yanitangulia 

Utukufu wako wanifuata 

Ni wewe usiyeshindwa 


Ninayemtegemea ni wewe 

Ngao yangu ni wewe 

Ni wewe usiyeshindwa 


Utukufu na heshima ni zako Yahweh

Ni zako usiyeshindwa 

Utukufu na heshima ni zako Bwana 

Ni zako Yahweh, ni zako usiyeshindwa 


Uliyenichagua ni wewe 

Uzima ni wewe 

Ni wewe usiyeshindwa 

Anilindaye na mabaya ni wewe 

Ni wewe Bwana 

Ni wewe Bwana usiyeshindwa 


Utukufu na heshima Bwana, ni zako Yahweh 

Ni zako usiyeshindwa 

Utukufu na heshima ni zako Bwana 

Ni zako Yahweh, ni zako usiyeshindwa 


Aliye kama wewe ni nani? 

Mwenye heshima kama zako ni nani? 

Mwenye upendo kama wako? 

Mwenye neema? Mwenye kubariki kama wewe? 

Mwenye kuinua kama wewe? 

Mamlaka yote hapa duniani na kule mbinguni 

Ni yako usiyeshindwa 


Utukufu na heshima ni zako Yahweh 

Ni zako usiyeshindwa 

Utukufu na heshima ni zako Bwana 

Ni zako Yahweh, ni zako usiyeshindwa 


Utukufu na Heshima(Glory and Honour) ni zako Bwana (Belong to you Lord) Usiyeshindwa( unyielding. Invincible, impregnable, indomitable, unassailable, unbeatable, undefeatable, unshakeable, unconquerable, unstoppable, invulnerable)


"Ali Mukhwana - Utukufu (Skiza 7631425 to 811)"