Chorus / Description :
Unaweza unaweza unaweza unaweza
Hakuna jambo lililo gumu
la kukushinda Yesu
Unaweza unaweza unaweza unaweza
Hakuna jambo lililo gumu
la kukushinda Yesu
Unaweza unaweza unaweza unaweza
Hakuna jambo lililo gumu
la kukushinda Yesu
Bwana akamwambia Yeremia
Nenda nyumbani kwa mfinyanzi
Utamwona mfinyanzi anavyofinyanga chombo
Kilichoharibika anakifinyanga tena
Anakifinyanga tena jinsi apendavyo yeye
Ndivyo ulivyo Wewe ni mfinyanzi
Kilichoharibika unakifinyanga tena
Unakifinyanga tena, unakifinyanga tena
Jinsi upendavyo Wewe
Haleluya Haleluya
Wewe ni Bwana, wewe ni Bwana
Yesu