Hii ni haja ya moyo wangu
Hii ni haja ya moyo wangu
Kukaa nawe Kukaa nawe
Kukaa nawe Bwana
Hii ni haja ya moyo wangu
Hii ni haja ya moyo wangu
Kukaa nawe Kukaa nawe
Kukaa nawe Bwana
Natamani nikae nawe Bwana
Siku zote za maisha yangu
Niutazame uzuri wako
Nakutafakari hekaluni mwako
Maana heri siku moja nawe
Kuliko siku mbali nawe
Ninaomba kukaa nawe
Siku zote siku zote
Ninaomba kukaa nawe
Siku zote siku zote
Write a review/comment/correct the lyrics of Haja Ya Moyo:
One of the best song ever written by ELIYA MWANTONDO. The song was written when he was in college. Thank man of God for this song.