MwanaKondoo Lyrics

By John Kavishe

Lyrics

Ulikubali mateso ya msalaba 

Ukalipa gharama yangu kwa damu 

Uliona kuwa Mungu si kitu, ukashuka chini 


Ulikubali mateso ya msalaba 

Ukalipa gharama yangu kwa damu 

Uliona kuwa Mungu si kitu, ukashuka chini 


Ulikubali mateso ya msalaba 

Ukalipa gharama yangu kwa damu 

Uliona kuwa Mungu si kitu, ukashuka chini 


Haleluya Haleluya 

Haleluya Mwana kondoo wa Mungu 

Uliyemwaga damu 

Naimba Haleluya 


Haleluya Haleluya 

Haleluya Mwana kondoo wa Mungu 

Uliyemwaga damu 

Naimba Haleluya 


Oh oh oooh-ooh-oh

Mwanakondoo wa Mungu 

Uliyemwaga damu 

Naimba Haleluya 

Johny Kavishe - Mwanakondoo (Official Video)

Now Playing...