Chorus / Description : Ninajulikana mbinguni, ninaendelea na Yesu
Ninajulikana mbinguni, ninaheshimiwa mbinguni
Nimehesabiwa na Yesu mwenyewe
Ananitsha milele
Ninajulikana kwa Baba, ninaendelea kwa Yesu
Nimehesabiwa mbinguni juu
Amenipenda mimi mwokozi
Sijajiweka mwenyewe mimi mwenzio
Nimewekwa na Mungu
Sijawai jitambulisha mwenyewe
Nimetambulishwa na Baba
Walisemezana tusimtambulishe huyu
Nimetambulishwa mbinguni ii
Wakasema tusimchague, nimechaguliwa mbinguni
Wakasema tusimkubali, nimekubaliwa na Baba
Nimewekwa na Mungu mwenyewe, najulikana mbinguni
Hahaa najulikana mbingu
Ninajulikana mbinguni, ninaendelea na Yesu
Ninajulikana mbinguni, ninaendelea na Yesu
Ninajulikana mbinguni, ninaendelea na Yesu
Ninajulikana mbinguni, ninaendelea na Yesu
Unajulikana mbinguni rafiki, mbingu inakujua
Wametangaziana wasikusaidie, umesaidiwa na Mungu
Wameambizana wasikutendee mema, umetendewa na Baba
Wamesema wasikufute kwenye ukoo wao, umeandikiswa mbinguni
Wamekataa kukutambulisha, unatambulishwa na Mungu
Walisema hawatakujibu kabisa umeponywa na Mungu
Wamekataa kukubeba, utabebwa na Yahweh
Hujui vile nimependwa na Mungu
Ninajulikana mbinguni, ninaendelea na Yesu
Ninajulikana mbinguni, ninaendelea na Yesu
Ninajulikana mbinguni, ninaendelea na Yesu
Ninajulikana mbinguni, ninaendelea na Yesu