Msaada Wangu Lyrics

By Reuben Kigame

Lyrics

Nitainua macho yangu, nitazame milima 

Msaada wangu utatoka wapi? 

Msaada wangu uu katika Bwana 


Bwana ameumba mbingu na nchi 

Asiuache mguu wako usongozwe 

Hasinzii yeye akulindaye 

Haoni usingizii 


Bwana ndiye mlinzi wako daima 

Yeye uvuli wa mkono wako wa kuume 

Jua halitakupiga mchana 

Wala mwezi usikuu


Nitainua macho yangu, nitazame milima 

Msaada wangu utatoka wapi? 

Msaada wangu uu katika Bwana 


Bwana atakulinda na mabaya yote 

Yeye atailinda nafsi yako 

Utokapo na uingiapo wewe 

Bwana atakulindaa 


Nitainua macho yangu, nitazame milima 

Msaada wangu utatoka wapi? 

Msaada wangu uu katika Bwana 


Msaada wangu uu katika Bwana 

Msaada wangu uu katika Bwana 


(Taarab Style)

Msaada wangu uu katika Bwana 

Msaada wangu by Reuben Kigame and Sifa voices official video

Now Playing...