Chorus / Description :
Inuka msifu Bwana
Inuka msifu Bwana
Kwa maana fadhili zake
zadumu hata milele
Inuka msifu Bwana
Inuka msifu Bwana
Kwa maana fadhili zake
zadumu hata milele
Alituumba tumtukuze
Tumpambe na sifa ni mwema
Hakuna Mungu kama yeye
Inuka msifu Bwana
Inuka msifu Bwana
Inuka msifu Bwana
Kwa maana fadhili zake
zadumu hata milele
Tunapomsifu anainuka
Anatenda mambo ya ajabu
Sifa zetu kama manukato
Inuka umsifu Bwana
Akufunikaye na mbawa zake
Akuondolea misiba yako
Afanyaye nderemo za shangwe
Zisikike nyumbani mwako, inuka
Inuka msifu Bwana
Inuka msifu Bwana
Kwa maana fadhili zake
zadumu hata milele
Simama msifu Bwana
Simama msifu Bwana
Kwa maana fadhili zake
zadumu hata milele
Tembea msifu Bwana
Tembea msifu Bwana
Kwa maana fadhili zake
zadumu hata milele
Simama simama
Simama msifu Bwana
Tembea tembea
Tembea msifu Bwana
Inuka msifu Bwana
Inuka msifu Bwana
Kwa maana fadhili zake
zadumu hata milele