Chorus / Description :
Wewe ni Mungu uliyenichagua
Naomba pigana nao wanaopigana nami
Wewe ni Mungu uliyenichagua
Naomba pigana nao wanaopigana nami
Wewe ni Mungu uliyenichagua
Naomba pigana nao wanaopigana nami
Wewe ni Mungu uliyenichagua
Naomba pigana nao wanaopigana nami
Hawakujua kama ni Baba
Hawakujua kama wewe ni Baba
Hawakujua mimi ni mboni la jicho lako
Hawakujua nimechorwa viganjani mwako
Hawakujua ulipigwa kwa ajili yangu Baba
Hawakujua ulichibuliwa kwa ajili yangu
Hawakujua ulifanyika laana nifanyike baraka
Hawakujua ulidhihakiwa kwa ajili yangu
Hawakujua ulidhihakiwa ili niheshimiwe
Hawakujua ulipigwa kwa ajili yangu Yesu
Wafadhaishe hao warudishwe nyuma hao
Warudishwe nyuma yangu
Wewe ni Mungu uliyenichagua
Naomba pigana nao wanaopigana nami
Wewe ni Mungu uliyenichagua
Naomba pigana nao wanaopigana nami
Wapenzi wa misiba wangu maadui wanichekelea
Wakati wa misiba yangu maadui walifurahi
Wakati wa kufiwa kwangu waliweka vikao vyao
Wakadhani Mungu wangu umeniacha
Wakadhani Mungu wangu umenisahau
Wakadhani Mungu wangu umenikimbia
Kumbe maneno yao yakafanya ukainuka
Masengenyo yao vikao vyao vikafanya uamke
Wacha niimbe wewe ni Mungu
Wewe ni Mungu uliyenichagua
Naomba pigana nao wanaopigana nami
Wewe ni Mungu uliyenichagua
Naomba pigana nao wanaopigana nami
Wewe ni Mungu uliyenichagua
Naomba pigana nao wanaopigana nami