Afadhali Yesu Lyrics

By Size 8

Lyrics

Nimepanda nimeshuka,

Milima mabonde na mito nimevuka,

Nimeosa! Nimesota!

Nimekosa mpaka mpaka nimekopa,

Nimeamini binadamu ole wangu roho wakanivunja

Niliambiwa nikakana,

Mimi mwenyewe nimekuja ona,

Tunachothamini hakitufanyi tufurahi

Ohh!

Najiuliza furaha yangu ni nani…..


Chorus

Afadhali Yesu (ah)

Afadhali yeh! Aliyena Yesu,


Nimesaka saka saka mbali sana

Nikipata pata bado nataka more

Nimesaka saka saka pesa asana

Nikipata pata bado nataka more

Makosa yangu na dhambi zangu

Matendo yangu yale nina juta

Umechukuwa umeondoa

Ulisema huta yakumbuka


Tunachothamini hakitufanyi tufurahi

Ohh!

Najiuliza furaha yangu ni nani…


Chorus

Afadhali Yesu (ah)

Afadhali yeh! Aliyena Yesu


Now Playing...