Chorus / Description :
Bwana mungu nakuomba sasa, unifanye kuwa kama upendavyo.
Maana wewe ni muweza wa yote ,
Unifanye kuwa kama upendavyo.
Bwana mungu nakuomba sasa, unifanye kuwa kama upendavyo.
Maana wewe ni muweza wa yote ,
Unifanye kuwa kama upendavyo.
Nifinyange' nifinyange
Unifanye kuwa kama upendavyo.
Niongo-ze, niongoze
Unifanye kuwa kama upendavyo.
Nibariki, nibariki
Unifanye kuwa kama upendavyo.
@ Nifinyange - Sifa Lyrics
Translation
God I pray thee now, make me be as you wish
Because you are able, make me be as you wish