Mercy Linah - Nashukuru

Chorus / Description : Umenipa uhai baba nafasi nyingine ya siku mpya.
Baaaabaaaa, Nashukuruuu.
Umeniponya roho na mwili tabibu wa ajabu wewe yesu.
Babaaaaa, Nashukuruu
Umeondoa laana kabadilisha kuwa baraka.

Baba, Nashukuru.
Kilio changu ewe yesu kabadilisha kuwa furaha.
Baba, nashukuru.

Kwa moyo wangu wote.
Nasema asante kwako
Messiah Nashukuru

Nashukuru Lyrics

Umenipa uhai baba nafasi nyingine ya siku mpya.
Baaaabaaaa, Nashukuruuu.
Umeniponya roho na mwili tabibu wa ajabu wewe yesu.
Babaaaaa, Nashukuruu
Umeondoa laana kabadilisha kuwa baraka.

Baba, Nashukuru.
Kilio changu ewe yesu kabadilisha kuwa furaha.
Baba, nashukuru.

Kwa moyo wangu wote.
Nasema asante kwako
Messiah Nashukuru

Nilipokuwa mnyonge baba umekua nguvu yangu.
Babaa, Nashukuru
Nayo mishale ya yule mwovu hayajanipata umenilinda
Babaaa, Nashukuru

Umeniongoza mwokozi wangu kanisimamisha imara.
Babaaaa, Nashukuru
Umenitoa kwenye shimo la giza kaniweka kwenye mwanga.
Babaaa, Nashukuru.

Kwa moyo wangu wote.
Nasema asante kwako
Messiah Nashukuru

Yale yote umetenda ni mingi mno na ya ajabu.
Sijuie nisemeje.
Messiah Nashukuruuu.

Nashukuru Video

  • Song: Nashukuru
  • Artist(s): Mercy Linah


Share: