David Wonder - Zunguka

Chorus / Description : Nilizunguka zunguka yayaa
Kabla sijakupata nilizunguka

Zunguka Lyrics



Nilizunguka zunguka yayaa
Kabla sijakupata nilizunguka 
Yeah yea yea 

Wacha na ijulikane Mungu wangu anaishi 
Tangu situpatane sijawai kosa dishi 
Wacha na ijulikane Mungu wangu anaishi 
Tangu situpatane hatujawai kosa sisi

Ndio maana aiyai aiyai 

Kupata kazi kwa ofisi lazima uongee fisi 
Na binadamu hawaridhiki lakini kwako Baba 
Nilizunguka zunguka yayaa
Kabla sijakupata nilizunguka 

Wacha na ijulikane nakutegemea wewe tu 
Bila wewe si rahisi kuzunguka daily kwa miguu 
Sometimes hata nakosa kuwekea sukuma kitunguu 
Na mengine sitasema niwahadithia wajukuu 

Ndio maana aiyai aiyai 
Nimekuona Baba, nimekuona Baba

Kupata kazi kwa ofisi lazima uongee fisi 
Na binadamu hawaridhiki lakini kwako Baba 
Nilizunguka zunguka yayaa
Kabla sijakupata nilizunguka 

Nilizunguka zunguka yayaa
Kabla sijakupata nilizunguka 
Yeah yea yea 

Zunguka Video

  • Song: Zunguka
  • Artist(s): David Wonder


Share: