Ndogo Ndogo - Hizi Vitu Ndogo Ndogo

By Bahati

Lyrics

Hizi vitu ndogo ndogo zisifanye nisikuimbie Baba 

Hizi vitu ndogo ndogo zisifanye mi nikununie Baba 

Hizi vitu ndogo ndogo, ndogo 


Sukari ikipanda na unga hizo vitu ndogo 

Umekonda na yule ameunga hizo vitu ndogo 

Unashinda unalia kusota hizo vitu ndogo 

Kaburini alishinda ata kifo hizo vitu ndogo 



Eeh vipide

Unajua bila Yesu ni trikide

Mimi bahatide nakwambia shida zako ni ndogode 

Anakuchekide everyday ukicomplain ju ya holiday 

Hizo vitu ndogode mbele yake ndogo ndogo kama odede 

Na Unashinda ukilia kusota hizo vitu ndogo 

Kaburini alishinda ata kifo hizo vitu ndogo 


Hizi vitu ndogo ndogo zisifanye nisikuimbie Baba

Hizi vitu ndogo ndogo zisifanye mi nikununie Baba

Hizi vitu ndogo ndogo, ndogo 


Aah Mimi ni winner hata kama sina pesa

Lamborghini na bima  

Najua zote atanipa nipa

Madeni alilipa huyu Yesu wa uzima


Hizi vitu ndogo ndogo zisifanye nisikuimbie Baba 

Hizi vitu ndogo ndogo zisifanye mi nikununie Baba 

Hizi vitu ndogo ndogo, ndogo