Lyrics

Mungu anaketi katikati ya sifa 

Tukiimba Mungu anashuka 

Mungu anaketi katikati ya sifa 

Tukiimba Mungu anashuka eeh

Imba imba imba 

Ukiimba Mungu anashuka 

Imba imba imba 

Ukiimba Mungu anashuka kukuletea 

Majibu ya tatizo lako wee


Imba imba imba 

Ukiimba Mungu anashuka 

Imba imba imba 

Ukiimba Mungu anashuka kukuokoa 

Imba imba imba 

Ukiimba Mungu anashuka kukuponya 


Ipo siri katika kuimba wengi hawajui 

Tukiimba Mungu anashuka 

Kuna siri kwenye nyimbo wengi hawajui 

Tukiimba wagonjwa wanapona aah 

Ukitaka kuomba imba kwanza 

Tukiimba Mungu anafurahi mbinguni  

Imba imba imba 

Hata kama uko majaribuni 

Imba imba imba 

Hata katikati ya mapito 


Imba imba imba 

Ukiimba Mungu anashuka 

Imba imba imba 

Ukiimba Mungu anashuka kukuokoa 

Imba imba imba 

Ukiimba Mungu anashuka kukuponya 


Ukuta wa Jericho uliangushwa na nyimbo 

Waliimba Mungu alishuka aah 

Paulo na Sila walishinda kwa nyimbo 

Waliimba milango ya gereza ikafunguka 

Imba imba imba 

Ukiimba matatizo yaondoke nyumbani mwako 

Imba imba imba 

Ukiimba Mungu anashuka kukuokoa, imba weeh 


Futa machozi wewe imba 

Imba imba imba (acha kulia)

Ukiimba Mungu anashuka 

Imba imba imba (anza kuimba)

Ukiimba Mungu anashuka kukuokoa 

Imba imba imba 

Ukiimba Mungu anashuka kukuponya 


Usiwaze tafuta kitabu cha tenzi  

Anza kuimba wee

Imba imba imba (Imba nyimbo za tenzi)

Ukiimba Mungu anashuka 

Imba imba imba 

Ukiimba Mungu anashuka kukuokoa 

Imba imba imba 

Ukiimba Mungu anashuka kukuponya 

Imba nyimbo za tenzi 

Mungu atashuka kuleta majibu ya tatizo lako wee 


Eh Mungu wa Mbinguni umetusikia 

Tumeimba tunaomba shuka 

Shuka shuka shuka 

Tumeimba Mungu wetu Shuka 

Shuka shuka shuka 

Tumeimba Mungu wetu Shuka utuokoe 

Shuka shuka shuka 

Tumeimba Mungu wetu Shuka utuponye 

Bony Mwaitege - Imba (Official Music Video)