Lyrics Page

Ndiyo Bwana

By Bony Mwaitege

3,605 views Jun 17, 2026 updated Verified editorial review

Bony Mwaitege's song 'Ndiyo Bwana' is a Swahili worship song that returns glory and honor to God. The lyrics repeatedly affirm that all glory belongs to the Father, acknowledging Him as Jehovah Rapha, the healer. The song references answered prayers, such as providing a spouse, a child like Samuel, success in studies, and promotion. It also recalls biblical miracles like Joshua's sun standing still and the parting of the Red Sea, emphasizing that God alone is worthy of praise. The song is a declaration of God's sovereignty and faithfulness, inviting listeners to join in giving Him all the glory.

Lyrics Verified by Editorial Team

Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Tunakurudishia utukufu wako Baba 

(Heshima na mamlaka ni vyako) 

Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Tunakurudishia utukufu wako Baba 


Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Wastahili utukufu Jehovah Rapha 

Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Tunakurudishia utukufu wako Baba 

(Unatenda maajabu Jehovah)

Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Tunakurudishia utukufu wako Baba 

(Sisi tumemuombea uliyemponya niwewe,

Hatugusi utukufu ni wako) 

Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Tunakurudishia utukufu wako Baba 

(Unastahili Bwana milele) 

Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Tunakurudishia utukufu wako Baba 

(Aliomba apate mume, Mungu umemsikia 

Wa kupewea utukufu ni wewe) 

Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Tunakurudishia utukufu wako Baba 

(Unastahili wewe duniani kote) 

Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Tunakurudishia utukufu wako Baba 


(Aliomba apate mke, Mungu umemsikia 

Wa kupewea heshima ni wewe Bwana) 

Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Tunakurudishia utukufu wako Baba 

(Unayejibu maombi yetu)

Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Tunakurudishia utukufu wako Baba 

(Aliomba apate mtoto, Samweli amepatikana

Wastahili heshima Bwana) 

Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Tunakurudishia utukufu wako Baba 

(Hatugusi utukufu ni wako) 

Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Tunakurudishia utukufu wako Baba 

(Sisi tumehubiri, unayeokoa ni wewe 

Unastahili heshima Bwana) 

Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Tunakurudishia utukufu wako Baba 

(utukufu wako tunauogopa sana) 

Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Tunakurudishia utukufu wako Baba 

(Hata kama tunaimba, watu wanabarikiwa

Hatugusi utukufu ni wako) 

Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Tunakurudishia utukufu wako Baba 

(Haleluya Hossana milele) 

Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Tunakurudishia utukufu wako Baba 


(Uko pekee yako wa kubeba utukufu) 

Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Tunakurudishia utukufu wako Baba 

(Tuliomba afaulu masomo, kweli umemsaidia 

Masomo amefaulu usifiwe Baba )

Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Tunakurudishia utukufu wako Baba 

(Hakuna mwingine duniani kote) 

Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Tunakurudishia utukufu wako Baba 

(Tuliomba apandishwe cheo kweli amepandishwa

Heshima na utukufu ni vyako )

Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Tunakurudishia utukufu wako Baba 

(Kwa kuimba na kucheza 

Tunakusifu Bwana) 

Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Tunakurudishia utukufu wako Baba 

(Sisi hatuna ujanja wa kuponya kiwete 

Utukufu ni wako unayeponya) 

(Wewe ulisimamisha jua wakati wa Joshua) 

Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Tunakurudishia utukufu wako Baba 

(Tangu ulipoigawa Bahari haijawanyika tena  

Hatuna ujanja zaidi yako Bwana) 

Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Tunakurudishia utukufu wako Baba 

(Ulitembea juu ya maji 

Wewe wa ajabu Bwana) 

Ndiyo ndiyo ndiyo Bwana 

Tunakurudishia utukufu wako Baba 

Music Video

Save Your Favorites

Create a free account to save songs, build your personal library, and connect with the Zion community.

Create Free Account

Join the Zion Community

Create a free account to save your favorite lyrics, submit song suggestions, and connect with fellow worshippers.

No spam. Unsubscribe anytime.