Joyce Omondi - Tumaini

Chorus / Description : Umenipangia mema, mema
Tumaini la baadaye nilipate

Tumaini Lyrics

Maisha yangu usalama mkononi mwako
Nakuhitaji wewe tu, umetosha
Sitaogopa chochote ushafika mbele yangu
Ninaye Mwanga

Pre-chorus
Baba niongoze, nilinde
Hadi unaponitaka
Ee Baba niwezeshe, nishikilie
Hadi nimalize safari

Chorus
Umenipangia mema, mema
Tumaini la baadaye nilipate
x2

Verse 2
Hamna heri na kusaka mali ya dunia
Hazina yangu iwe kwako
Nitakufuata milele, moyo wangu wakutamani
Nasitatosheka

Pre-chorus
Baba niongoze, nilinde
Hadi unaponitaka
Ee Baba niwezeshe, nishikilie
Hadi nimalize safari

Chorus
Umenipangia mema, mema
Tumaini la baadaye nilipate
x2

Bridge
Nakutazamia, nategemea, nakukimbilia
Tumaini langu ni kwako

Joyce Omondi - TUMAINI (Official Video) SMS SKIZA 7381084 to 811

  • Song: Tumaini
  • Artist(s): Joyce Omondi


Share: