Tumaini

By Joyce Omondi

Lyrics

Maisha yangu usalama mkononi mwako

Nakuhitaji wewe tu, umetosha

Sitaogopa chochote ushafika mbele yangu

Ninaye Mwanga


Pre-chorus

Baba niongoze, nilinde

Hadi unaponitaka

Ee Baba niwezeshe, nishikilie

Hadi nimalize safari


Chorus

Umenipangia mema, mema

Tumaini la baadaye nilipate

x2


Verse 2

Hamna heri na kusaka mali ya dunia

Hazina yangu iwe kwako

Nitakufuata milele, moyo wangu wakutamani

Nasitatosheka


Pre-chorus

Baba niongoze, nilinde

Hadi unaponitaka

Ee Baba niwezeshe, nishikilie

Hadi nimalize safari


Chorus

Umenipangia mema, mema

Tumaini la baadaye nilipate

x2


Bridge

Nakutazamia, nategemea, nakukimbilia

Tumaini langu ni kwako

Joyce Omondi - TUMAINI (Official Video) SMS SKIZA 7381084 to 811