Tumaini
By Joyce Omondi
Lyrics
Maisha yangu usalama mkononi mwako
Nakuhitaji wewe tu, umetosha
Sitaogopa chochote ushafika mbele yangu
Ninaye Mwanga
Pre-chorus
Baba niongoze, nilinde
Hadi unaponitaka
Ee Baba niwezeshe, nishikilie
Hadi nimalize safari
Chorus
Umenipangia mema, mema
Tumaini la baadaye nilipate
x2
Verse 2
Hamna heri na kusaka mali ya dunia
Hazina yangu iwe kwako
Nitakufuata milele, moyo wangu wakutamani
Nasitatosheka
Pre-chorus
Baba niongoze, nilinde
Hadi unaponitaka
Ee Baba niwezeshe, nishikilie
Hadi nimalize safari
Chorus
Umenipangia mema, mema
Tumaini la baadaye nilipate
x2
Bridge
Nakutazamia, nategemea, nakukimbilia
Tumaini langu ni kwako
Joyce Omondi - TUMAINI (Official Video) SMS SKIZA 7381084 to 811
Song Information
- Artist
- Joyce Omondi
- Released
- February 19, 2019
- Genre / Category
- swahili
- Views
- 1,391