Ali Mukhwana - Mungu wa Neema - Ni Wa Neema Mungu Baba

Chorus / Description : Ni wa neema Mungu Baba
Ni wa neema kubwa
Ni wa neema Mungu Baba
Ni wa neema kubwa

Mungu wa Neema - Ni Wa Neema Mungu Baba Lyrics

Ni wa neema Mungu Baba 
Ni wa neema kubwa 
Ni wa neema Mungu Baba 
Ni wa neema kubwa  .

Kama sio nguvu zako Baba 
Nalia mimi ningekuwa wapi nakupenda aah?  
Ni wa neema Mungu Baba 
Ni wa neema kubwa  .

Ukanitoa mavumbini Baba 
Ukaniita kwa jina lako  
Mwokozi wangu woo-ooh
Ni wa neema Mungu Baba 
Ni wa neema kubwa  .

Angalia dunia mbingu yote uliumba 
Kwa jina lako Baba nakupenda aah 
Ni wa neema Mungu Baba 
Ni wa neema kubwa  .

Ni wa neema, ni wa, ni wa neema kubwa eeh 
Ni wa neema Mungu Baba 
Ni wa neema kubwa  .

Usiku na mchana tulipata chakula cha kila siku 
Eeeh ndio maana tunasema sisi 
Ni wa neema Mungu Baba 
Ni wa neema kubwa  .

Baba nani kama wewe unashugulikia wajane na mayatima 
Wanyonge na wadhaifu 
Ni wa neema Mungu Baba 
Ni wa neema kubwa  .

Yesu huyu haangali kabila lako eeh 
Ni wa neema Mungu Baba 
Ni wa neema kubwa  .

Nani mwanaume kama Yesu 
Nani mwenye nguvu kama zako 
Ni wa neema Mungu Baba 
Ni wa neema kubwa  .

"Yeye ni simba wa yuda 
Yeye ni kimbilio letu 
Hakuna Mungu kama yeye" 
Ni wa neema Mungu Baba 
Ni wa neema kubwa  .

Wacha kulilia majirani wako mama eeh 
Mlilie huyu Yesu mwenye uweza ooh
Ni wa neema Mungu Baba 
Ni wa neema kubwa   .

Akikubariki mama nani wa kupinga 
Mwongoza njia eeh mama yee 
Ni wa neema Mungu Baba 
Ni wa neema kubwa  .

Ni wa neema, ni wa 
ni wa neema, ni wa neema kubwa 
Ni wa neema Mungu Baba 
Ni wa neema kubwa 

Mungu wa Neema - Ni Wa Neema Mungu Baba Video

  • Song: Mungu wa Neema - Ni Wa Neema Mungu Baba
  • Artist(s): Ali Mukhwana


Share: