Mwenye Enzi

By Ali Mukhwana

Lyrics

Tunakuabudu Mungu mwenye enzi 

Tunakuabudu Mungu mwenye enzi 


Tunainama mbele zako 

Tukisema Mungu wastahili 

Wewe ndiwe kiongozi mwema 

Mfariji mwema twakuabudu 

Nikisema mimi ni msafi 

Itakuwa mimi najidanganya 

Wewe ndiwe kiongozi mwema 

Mfariji mwema twakuabudu 


Tunakuabudu Mungu mwenye enzi 

Tunakuabudu Mungu mwenye enzi 


Wewe ndiwe kiongozi wangi 

Tena mchungaji wangu wa karibu

Wewe ndiwe kiongozi wangi 

Tena mchungaji wangu wa karibu


Mimi ni nani Bwana nisikusifu 

Mimi ni nani Bwana nikuabudu 

Uliniumba Mungu kwa mfano wako 

Tunasema Mungu uhimidiwe


Tunakuabudu Mungu mwenye enzi 

Tunakuabudu Mungu mwenye enzi 


Halle Halleluyah wastahili

Halle Halleluyah wastahili

Ali Mukhwana - Mwenye Enzi (Dial *811*229# To Get this SONG)