Chorus / Description :
Unastahili Bwana Eeeh
Unastahili Yesu
Unastahili kuabudiwa Unastahili
Mwenye Enzi Ni weeh ni Wewe ×2
Unaetawala Duniani ni weeh ni WeweÂ
Muumba Mbingu na inchi Ni weeh ni WeweÂ
Unastahili Bwana Eeeh Unastahili Yesu Unastahili kuabudiwa Unastahili ×2
Kwa mapigo yako Yesu nimeona Mwanga kwa mateso yako Yesu Mimi nimepona ulifanyika maskini ili niwe tajiri Ulidhihakiwa mbele ya watu ili nione Mbingu mikuki Bwana ukachomwa ili nikombolewee Mwishoe Baba haukuhukumu yeyote uliwasamehe wote Unastahili Bwana eeehÂ
Unastahili Bwana eeehÂ
Unastahili YesuÂ
Unastahili kuabudiwa Unastahili ×2
Nikitazama Duniani wengi wamekufa nami niko hai Hilo nidhitisho tosha wanipenda matendo yako Bwana yapita ufahamu Wangu Bwana wangu weeeh Unastahili eeehÂ
Usikiye na kuomba kwangu kilio changu kikufikie nchi imeshiba mazao ya kazi zako Bwana Unastahili eeehÂ
Unastahili Bwana eeehÂ
Unastahili YesuÂ
Unastahili kuabudiwa
Unastahili ×2
Â
WEWE NDIWE MUNGU MKUU MUUMBA MBINGU NA NCHI UNAISHI NDANI YANGUÂ
Unaishi ndani yangu Bwana ×4Â