Chorus / Description :
Wewe ni kiu yangu
Njaa ya moyo wangu
Wewe ni Mungu wangu
Mfalme wa moyo wangu
Nitakase, nifundishe
Niongoze, nifinyange
Dhamira yangu Kujua
Nina wewe Yesu
Dhamira yangu Kujua
Nina wewe Yesu
Asubuhi, mchana wote
Jioni hata usiku
Kwenye hali zote
Nitembee na wewe
Oh Baba, Oh Yesu .
Wewe ni kiu yangu
Njaa ya moyo wangu
Wewe ni Mungu wangu
Mfalme wa moyo wangu .
Nitakase, nifundishe
Niongoze, nifinyange .
Kama ayala ayatamanivyo maji
Ndivyo moyo wangu una zaidi wa kutamani
Oh Baba yangu, ninashuka mbele zako
Mapenzi yako yatimizwe maishani mwangu Yesu
Usipolinda wewe mji walindao wanafanya kazi bure
Usipojenga wewe mji wajengao wafanya kazi bure
Nakutamani Yesu zaidi maishani mwangu .
Wewe ni kiu yangu
Njaa ya moyo wangu
Wewe ni Mungu wangu
Mfalme wa moyo wangu .
Wewe ni kiu yangu
Njaa ya moyo wangu
Wewe ni Mungu wangu
Mfalme wa moyo wangu .
Nitakase, nifundishe
Niongoze, nifinyange .