Umenitosha (You Satisfy Me)

By Benachi

Lyrics

Ninapolala naamka 

Only You my God You sustain me 

Mbele zako niko sawa 

You make me stronger 

Wanifaa wanitosha nakuenzi 


Out of my declare* Lord 

You've made me 

Ukanifinyanga ukanijenga 

Only you can fill my void 

Only you can satisfy 

Ony you a wanna praise 

Ony you you make me stronger 

Kinywa changu wacha nikuimbie eeh


Umenitosha umenitosha 

Umenitosaha Baba 

Umenitosha umenitosha 

Umeutosha moyo wangu 


Kwa damu umeniosha 

Magonjwa umeyaponya 

Mfariji kwenye giza nikitembea 

Wewe ndiwe mwamba 

Kwako ndio mwisho 


Aiyayaa Daddy Daddy Ooh 

Wewe tu you make my life so beautiful 

Kwako nimekwama tabibu 

You satisfy my life Lord 

You satisfy my life Yesu we Yesu wewe 


Umenitosha umenitosha 

Umenitosaha Baba 

Umenitosha umenitosha 

Umeutosha moyo wangu 

Turn my mourning into dancing 


Niwewe tu you make my life so beautiful 

Umenitosha umenitosha 

Umenitosaha Baba 

Umenitosha umenitosha 

Umeutosha moyo wangu