Chorus / Description :
Wastahili ewe Bwana
Wastahili ewe Bwana
Wastahili ewe Bwana
Kupokea Utukufu.
Tunakuabudu Bwana
Tunakuabudu.
Tunakuabudu Jehovah
Tunakuabudu.
Tukisema
Wastahili ewe Bwana
Wastahili ewe Bwaa
Wastahili ewe Bwana
Kupokea Utukufu.
Tunakuinua Bwana
Tunauinuia
Tunakubariki Bwana
Tunakukubariki
Tunakuheshimu Bwana
Tunakuheshimu
Wastahili ewe Bwana
Wastahili ewe Bwana
Wastahili ewe Bwana
Kupokea Utukufu.