Eunice Njeri - Nimekubali - Nasema Ndio Bwana

Chorus / Description : Nimekubali nasema ndio Bwana
Kwako ni salama nasema ndio
Nimekubali nasema ndio Bwana
Najitoa kwako dhabihu iliyo hai Bwana nitumie

Nimekubali - Nasema Ndio Bwana Lyrics

Nimekubali nasema ndio Bwana 
Kwako ni salama nasema ndio 
Nimekubali nasema ndio Bwana 
Najitoa kwako dhabihu iliyo hai Bwana nitumie

Bwana anatafta watakaomwabudu kwa roho na kweli
Na wakati ndio huu naamini umefika
Nisaidie kutenda kulingana mapenzi yako
Kutembea na maagizo yako moyoni mwangu

Nimekubali nasema ndio Bwana 
Kwako ni salama nasema ndio 
Nimekubali nasema ndio Bwana 
Najitoa kwako dhabihu iliyo hai Bwana nitumie

Mimi ni chombo mikononi mwako Yahweh 
Tena ni udongo na wewe mfinyazi baba, nifinyange nitengeneze
Uishe nafsi yangu chochote utakacho mimi nitatenda

Nimekubali nasema ndio Bwana 
Kwako ni salama nasema ndio 
Nimekubali nasema ndio Bwana 
Najitoa kwako dhabihu iliyo hai Bwana nitumie

Oooh niumbie, niumbie moyo safi, ili niweze kukutukuza
Bwana nitengeneze kwa ajili ya jina lako baba
Wala usinitenganishe na uwepo wako
Mimi bwana eeeh nimekubali njia zako baba
Nasema ndio kwako baba

Nimekubali nasema ndio Bwana 
Kwako ni salama nasema ndio 
Nimekubali nasema ndio Bwana 
Najitoa kwako dhabihu iliyo hai Bwana nitumie

Nimekubali - Nasema Ndio Bwana Video

  • Song: Nimekubali - Nasema Ndio Bwana
  • Artist(s): Eunice Njeri


Share: