Eunice Njeri - Nani Kama Wewe

Chorus / Description : Nani kama wewe
Nakuinua mungu wangu leo
Nani kama wewe
Nakupenda

Nani Kama Wewe Lyrics

Nani kama wewe
Nakuinua mungu wangu leo
Nani kama wewe
Nakupenda

Nani kama wewe
Nakuinua Mungu wangu leo
Nani kama wewe nakupenda
Miguuni pako nakuinamia Bwana
Heshima na utukufu Baba, nakupa Yesu

Nimekuja nikuinue, nimekuja nikupende
Miguuni pako, nakupenda
Enzini pako, nakuinamia bwana
Enzini pako, nainua mikono
Enzini pako, nakuabudu bwana
Enzini pako pokea utukufu
Baba hakuna mwingine tena
Mwenye enzi na utukufu
Kama wewe Shallom Baba

U Mungu wa wajane Baba
Mweza yote kwa mayatima
Nani mwingine kama wewe, nakupenda
Sina mwingine kando yako, ninakushukuru Baba
Nakwinamia wewe, unastahili
Nani kama wewe Bwana
Hakuna mwingine kama wewe Bwana

Mfariji kama wewe Bwana
Hakuna mwingine kama wewe Bwana
Duniani, mbinguni na chini Baba , hakuna
Mwingine kama wewe Bwana
Nani kama wewe Bwana
Hakuna, mwingine kama wewe Bwana

Amina, amina oh , ooh
Amina milele

Wewe ni Mungu tunasema
Amina milele
Jehova Shallom, Jehova Nissi
Amina Milele
Jehova Elshadai, Jehovah Adonai
Amina Milel

Nani Kama Wewe Video

  • Song: Nani Kama Wewe
  • Artist(s): Eunice Njeri


Share: