Chorus / Description :
Wakisema
Wastahili wastahili, wastahili Bwana
(You are Worthy*3 Lord)
Wastahili wastahili, wastahili Bwana
(You are Worthy*3 Lord)
Viti havifai tena, wanainama mbele zako
Wanazivua taji zao, wanaziweka mbele zako
Hizo ni heshima zao, wanazileta mbele zako
Viti havifai tena wanainama mbele zako
Wanazivua taji zao, wanaziweka mbele zako
Hizo ni heshima zao, wanazileta mbele zako
Wakisema
Wastahili wastahili, wastahili Bwana
Wastahili wastahili, wastahili Bwana
Mtakatifu mtakatifu
Ndiwe Bwana wa majeshi
Heavens and nations are filled with Your glory
Na utukufu wako
(repeat)
Wastahili wastahili, wastahili Bwana
Wastahili wastahili, wastahili Bwana
Wewe ni Mungu, wewe ni mfalme, unatawala
Wewe ni Mungu, wewe ni mfalme, unatawala
Wewe ni Mungu, wewe ni mfalme, unatawala