Heri Siku Moja Lyrics

By Reuben Kigame

Lyrics

Ewe Mungu wa majeshi, ninapenda kukaa nawe,
maskani zako zapendeza, nazikondea kwa shauku kubwa

Heri siku moja mbele zako, kuliko siku elfu mbali na wewe

Ee Bwana nguvu na msaada wangu nitakupenda daima.
Moyo na mwili wangu Bwana viakulilia Mungu wangu,
heri nikose viote Baba, lakini nikupate wewe

Heri siku moja mbele zako, kuliko siku elfu mbali na wewe
Ee Bwana nguvu na msaada wangu nitakupenda daima.

Heri siku moja mbele zako, kuliko siku elfu mbali na wewe
Ee Bwana nguvu na msaada wangu nitakupenda daima.

Heri Siku Moja - Reuben Kigame and Sifa Voices (DVD title: Worship At the Tent)

Now Playing...