Chorus / Description :
Ni wewe Mungu wangu usiyenaupendeleo
Niguse na mimi Baba
Ni wewe Baba usiyenaupendeleo
Nikumbuke na mimi
Niko hapa, niko hapa
Niko hapa Baba uniguse
Najua Baba macho yako yanaona
Nitazame na mimi
Najua Baba masikio yako yanasikia
Sikia maombi yangu
Ni wengi wamekuona Baba ukijibu
Jibu na mimi
Oh ni wengi wamekuona Baba ukitenda
Tenda kwangu na mimi
Ni wewe Mungu wangu usiyenaupendeleo
Niguse na mimi Baba
Ni wewe Baba usiyenaupendeleo
Nikumbuke na mimi
Niko hapa, niko hapa
Niko hapa Baba uniguse
Niko hapa, niko hapa
Niko hapa, Baba uniguse
Najifunza kwa wengine walionitangulia
Nafahamu wewe unatenda
Najifunza kwa Yakobo
Hakukuacha Baba uende
Aling'ang'ana na wewe
Akasema huwezi kwenda usiponibariki
Yakobo na aseme
Akasema huwezi kwenda usiponiponya
Akashika pindo lako yule mwanamke
Na mimi niko hapa
Niko hapa, niko hapa
Niko hapa Baba uniponye
Niko hapa, niko hapa
Niko hapa Baba uniguse
Niko hapa, niko hapa
Niko hapa, Baba uniguse