Paul Clement - Siogopi

Chorus / Description : Siogopi siogopi
Siogopi siogopi
'Am not afraid
'Am not afraid

Siogopi Lyrics

Siogopi kuchelewa 
Maana Mungu wangu hachelewi wala hawai 
Siogopi mateso yako 
Sababu yeye ananipeleka kwenye ukuu wangu 
Siogopi kudharauliwa 
Maana ndiko kunanipa heshima yangu 
Siogopi adui zangu 
Maana najua ni adui wa Mungu wangu 
Siogopi hivi vita vyako 
Maana ndivyo vinanipa ushindi wangu  

Siogopi siogopi 
Siogopi siogopi 
Siogopi siogopi 
Siogopi siogopi 

Am not afraid 
Am not afraid 
Am not afraid 
Am not afraid 

Nimepewa mamlaka siogopi nge na nyoka 
Tawakanyaga vichwa vyao hazitanidhuru sumu zao 
Yaani maneno yao 
Siogopi kutembea kwenye giza 
Maana mimi ni nuru ninaangaza 
Siogopi kusimama juu ya mlima 
Maana najua siwezi sitirika  

Siogopi moto moto sababu 
Lazima nipite mimi dhahabu 
Ili nisimame niwe imara ndiwe kinara 
Siogopi moto moto sababu 
Lazima nipite mimi dhahabu 
Niwe hodari niwe jasiri ndiwe kamili

Siogopi siogopi 
Siogopi siogopi 
Siogopi siogopi 
Siogopi siogopi 

Am not afraid 
Am not afraid 
Am not afraid 
Am not afraid 

Siogopi Video

  • Song: Siogopi
  • Artist(s): Paul Clement


Share: