Chorus / Description :
Msalaba ndio asili ya mema,
Nikatua mzigo hapo;
Nina uzima, furaha daima,
Njoni kafurahini papo.
At the cross where I first saw the light
Sioni haya kwa Bwana,
Kwake nitang?ara!
Mti wake sitakana,
Ni neno imara.
(Chorus)
Msalaba ndio asili ya mema,
Nikatua mzigo hapo;
Nina uzima, furaha daima,
Njoni kafurahini papo.
Kama kiti chake vivyo,
Ni yake ahadi;
Alivyowekewa navyo,
Kamwe, havirudi.
Bwana wangu, tena Mungu,
Ndilo lake jina!
Hataacha roho yangu,
Wala kunikana.
Atakiri langu jina,
Mbele za Babaye,
Anipe pahali tena,
Mbinguni nikae
# At the Cross
Angela Chibalonza Sioni Haya Official Video
Mtunga Maneno: Isack Watts (1674-1748)
Mtunga Sauti: R. E. Hudson
Kiingereza: At the Cross