Zabron Singers - Ntaweza

Chorus / Description : Katika yeye anitiaye nguvu mi
(Ntaweza, Ntaweza, Ntaweza)
Ndoto zangu kuzitimiza pia mi
(Ntaweza, Ntaweza, mimi ntaweza)
Kusahau maumivu ya moyoni
(Ntaweza, Ntaweza, Ntaweza)
Nikae nitulie naye
(Ntaweza, Ntaweza, mimi ntaweza)

Ntaweza Lyrics

Anapoona mambo yake hayaendi Mungu
Mwingine hata hujiuliza Mungu yuko wapi
Wanapopitia magumu ya kuvunja moyo
Na kwamba wapi? Au imani sina?
Tatizo nini? Nione yote haya
Na kwamba wapi? Au imani sina?
Tatizo ni nini? Nione yote haya

Kwa Yesu na amini bado ninazo nguvu
Nitaweza nitainuka hata ninaposhindwa

Katika yeye anitiaye nguvu mi 
(Ntaweza, Ntaweza, Ntaweza) 
Ndoto zangu kuzitimiza pia mi
(Ntaweza, Ntaweza, mimi ntaweza) 
Kusahau maumivu ya moyoni
(Ntaweza, Ntaweza, Ntaweza) 
Nikae nitulie naye 
(Ntaweza, Ntaweza, mimi ntaweza) 

Katika yeye anitiaye nguvu mi 
(Ntaweza, Ntaweza, Ntaweza) 
Ndoto zangu kuzitimiza pia mi
(Ntaweza, Ntaweza, mimi ntaweza) 
Kusahau maumivu ya moyoni
(Ntaweza, Ntaweza, Ntaweza) 
Nikae nitulie naye 
(Ntaweza, Ntaweza, mimi ntaweza) 

Ntaweza ntaweza yote ntaweza
Ntaweza baba maisha, ntaweza kwako kuomba
Ntaweza Yesu kusali, ntaweza baba kutii
Ntaweza tu

Hata kwa yale mambo ninasubiri yafunguke
Yale nilioomba na kusubiri unijibu
Nakuamini Yesu hujawahi shindwa
Umewahi fanya hebu fanya tena
Nakuamini Yesu hujawahi shindwa
Umewahi fanya hebu fanya tena

Katika yeye anitiaye nguvu mi 
(Ntaweza, Ntaweza, Ntaweza)
Ndoto zangu kuzitimiza pia mi
(Ntaweza, Ntaweza, mimi ntaweza)
Kusahau maumivu ya moyoni
(Ntaweza, Ntaweza, Ntaweza)
Nikae nitulie naye 
(Ntaweza, Ntaweza, mimi ntaweza)

Katika yeye anitiaye nguvu mi 
(Ntaweza, Ntaweza, Ntaweza)
Ndoto zangu kuzitimiza pia mi
(Ntaweza, Ntaweza, mimi ntaweza)
Kusahau maumivu ya moyoni
(Ntaweza, Ntaweza, Ntaweza)
Nikae nitulie naye 
(Ntaweza, Ntaweza, mimi ntaweza)

Ntaweza Video

  • Song: Ntaweza
  • Artist(s): Zabron Singers


Share: