Ntaweza

By Zabron Singers

Lyrics

Anapoona mambo yake hayaendi Mungu

Mwingine hata hujiuliza Mungu yuko wapi

Wanapopitia magumu ya kuvunja moyo

Na kwamba wapi? Au imani sina?

Tatizo nini? Nione yote haya

Na kwamba wapi? Au imani sina?

Tatizo ni nini? Nione yote haya


Kwa Yesu na amini bado ninazo nguvu

Nitaweza nitainuka hata ninaposhindwa


Katika yeye anitiaye nguvu mi 

(Ntaweza, Ntaweza, Ntaweza) 

Ndoto zangu kuzitimiza pia mi

(Ntaweza, Ntaweza, mimi ntaweza) 

Kusahau maumivu ya moyoni

(Ntaweza, Ntaweza, Ntaweza) 

Nikae nitulie naye 

(Ntaweza, Ntaweza, mimi ntaweza) 


Katika yeye anitiaye nguvu mi 

(Ntaweza, Ntaweza, Ntaweza) 

Ndoto zangu kuzitimiza pia mi

(Ntaweza, Ntaweza, mimi ntaweza) 

Kusahau maumivu ya moyoni

(Ntaweza, Ntaweza, Ntaweza) 

Nikae nitulie naye 

(Ntaweza, Ntaweza, mimi ntaweza) 


Ntaweza ntaweza yote ntaweza

Ntaweza baba maisha, ntaweza kwako kuomba

Ntaweza Yesu kusali, ntaweza baba kutii

Ntaweza tu


Hata kwa yale mambo ninasubiri yafunguke

Yale nilioomba na kusubiri unijibu

Nakuamini Yesu hujawahi shindwa

Umewahi fanya hebu fanya tena

Nakuamini Yesu hujawahi shindwa

Umewahi fanya hebu fanya tena


Katika yeye anitiaye nguvu mi 

(Ntaweza, Ntaweza, Ntaweza)

Ndoto zangu kuzitimiza pia mi

(Ntaweza, Ntaweza, mimi ntaweza)

Kusahau maumivu ya moyoni

(Ntaweza, Ntaweza, Ntaweza)

Nikae nitulie naye 

(Ntaweza, Ntaweza, mimi ntaweza)


Katika yeye anitiaye nguvu mi 

(Ntaweza, Ntaweza, Ntaweza)

Ndoto zangu kuzitimiza pia mi

(Ntaweza, Ntaweza, mimi ntaweza)

Kusahau maumivu ya moyoni

(Ntaweza, Ntaweza, Ntaweza)

Nikae nitulie naye 

(Ntaweza, Ntaweza, mimi ntaweza)