Chorus / Description :
Sifa zote ni zako Bwana
Kwa yale yote unayofanya
Viumbe vyote vyakusifu uuh
Na sisi wana wako tunakuabudu
Sifa zote ni zako Bwana
Kwa yale yote unayofanya
Viumbe vyote vyakusifu uuh
Na sisi wana wako tunakuabudu
Sifa zote ni zako Bwana
Kwa yale yote unayofanya
Viumbe vyote vyakusifu mwokozi wetu
Na sisi wana wako tunakuabudu
Kwani ni wee, Kwani ni wewe unatupenda
Nani aokoa, nani atupenda niwee
Umeniokoa, niwe niwe niwee
Nani mfariji niwee, nani abariki niwee
Tunasifu niwee niwee niwee
Sifa zote ni zako Bwana
Kwa yale yote unayofanya
Viumbe vyote vyakusifu uuh
Na sisi wana wako tunakuabudu
Kwani ni wee, Kwani ni wewe unatupenda
Nani aokoa, nani atupenda niwee
Umeniokoa, niwe niwe niwee
Nani mfariji niwee, nani abariki niwee
Tunasifu niwee niwee niwee
Sifa zote sifa zote mkombozi ni wewe
Yesu Yesu Yesu utukuzwe milele
Kwani ni wee, Kwani ni wewe unatupenda