Mfalme Mkuu

By Kanjii Mbugua

Lyrics

Chorus

Wewe ndiwe, wewe ndiwe

Wewe ndiwe mfalme mkuu


Nilikuwa nimekosa tumaini maishani

Lakini Yesu akaniokoa

Nilikuwa niangamie, nianguke, nipotee

Lakini Yesu akaniokoa


Pre-Chorus

Napigwa na butwa, ninashangaa nimezubaa

Wema wako hauna kipimo

Napigwa na butwa, ninashangaa nimezubaa

Nguvu zako, zako hazina kipimo


Chorus

Wewe ndiwe, wewe ndiwe

Wewe ndiwe mfalme mkuu


Nilikuwa nimezama

Shida nyingi upande zote

Lakini Yesu akaniokoa

Nilikuwa nimefungwa

Nimeshindwa, nimezidiwa

Lakini Yesu akaniokoa


Pre-Chorus

Napigwa na butwa, ninashangaa nimezubaa

Wema wako hauna kipimo

Napigwa na butwa, ninashangaa nimezubaa

Nguvu zako, zako hazina kipimo


Chorus

Wewe ndiwe, wewe ndiwe

Wewe ndiwe mfalme mkuu


Bridge

Shangwe na nderemo

Furaha ya ajabu

We umeniona

Mwokozi wangu


Post Chorus

Wewe ni, wewe ni,

Wewe, wewe

Wewe ni, wewe ni

Mwokozi wangu

"Kanjii Mbugua feat. Enid Moraa - Mfalme Mkuu [Official HD Video]"