Jipe Moyo

By Erick Smith

Lyrics

Jipe moyo Mungu anakujua 

Jipe moyo yu pamoja nawe 

Punde si punde ateleta faraja 

Punde si punde ateleta faraja 

Jibu kwa mahitaji yako.


Siku zatoshana lakini zote si sawa 

Usiku inapokuja lazima kutapambazuka 

Kila kitu na wakati wake 

Leo ni machozi kesho ni nderemo 

Mateso ya mwenye haki ni mengi 

Lakini Bwana humponya nayo yote. 


Jipe moyo Mungu anakujua 

Jipe moyo yu pamoja nawe 

Punde si punde ateleta faraja 

Punde si punde ateleta faraja 

Jibu kwa mahitaji yako 

Jibu kwa mahitaji yako oh. 


Alisema anawajua walio wake eeh 

Na walio wake wanamjua 

Anasikia kilio chao nao pia wamsikia. 

Ooh wanamuita Baba na anawaita wana 

Hata majira yabadilike najipa moyo. 

Maana najua Bwana yu pamoja nami. 

Hawezi niacha Baba Baba ooh 


Jipe moyo Mungu anakujua 

Jipe moyo yu pamoja nawe 

Punde si punde ateleta faraja 

Punde si punde ateleta faraja 

Jibu kwa mahitaji yako 

Jibu kwa mahitaji yako oh. 


Yesu (Yesu)

Mfariji mwema (mfariji mwema) 

Yesu (Yesu)

Hawezi kuacha (hawezi kuacha) 

Punde si punde ateleta faraja (ataleta faraja) 


Jipe moyo Mungu anakujua 

Jipe moyo yu pamoja nawe 

Punde si punde ateleta faraja 

Punde si punde ateleta faraja 

Jibu kwa mahitaji yako 

Jibu kwa mahitaji yako oh. 

Erick Smith - Jipe Moyo (Official Video)